Friday, March 29, 2013 | comments

KAMATI YA FEDHA YAFANYA UKAGUZI WA MIRADI MBALIMBALI YA HALMASHAURI
Kamati ya Fedha,Utawala na Mipango Wilayani hapa imefanya ukaguzi wa miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa na Halmashauri ya Wilaya ya Missenyi
Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe.Wiliam Katunzi(katikati) akipewa maelekezo na Mhandisi wa Umwagiliaji wakati wa ukaguzi wa mradi wa umwagiliaji Kyakakera   
Kaimu Afisa Mipango(W) Missenyi Bw.Deus Joseph (katikati) akiwaonesha  moja ya darasa la Shule ya Msingi Kashaba Wajumbe wa Kamati ya Fedha walipokuwa katika ukaguzi wa miradi hivi karibuni

Moja ya mifereji ya mradi wa umwagiliaji katika Skimu ya Kyakakera iliyopo kata ya Kyaka  
Share this article :

Post a Comment

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. MISSENYI DISTRICT COUNCIL - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Mas Template
Proudly powered by Blogger