KAMATI YA FEDHA YAFANYA UKAGUZI WA MIRADI MBALIMBALI YA HALMASHAURI
Kamati ya Fedha,Utawala na Mipango Wilayani hapa imefanya ukaguzi wa miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa na Halmashauri ya Wilaya ya Missenyi
|
Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe.Wiliam Katunzi(katikati) akipewa maelekezo na Mhandisi wa Umwagiliaji wakati wa ukaguzi wa mradi wa umwagiliaji Kyakakera | | | |
|
|
Kaimu Afisa Mipango(W) Missenyi Bw.Deus Joseph (katikati) akiwaonesha moja ya darasa la Shule ya Msingi Kashaba Wajumbe wa Kamati ya Fedha walipokuwa katika ukaguzi wa miradi hivi karibuni |
|
Moja ya mifereji ya mradi wa umwagiliaji katika Skimu ya Kyakakera iliyopo kata ya Kyaka | | |
|
Post a Comment